This website use cookies to ensure you get the best experience on our website
Una swali la kuniuliza? Kuna msaada binafsi unahitaji? au unataka uwe mentee wangu?
Kuingia kwenye uandishi wa vitabu sio kazi kubwa kama utaanzia kwenye kile unachokifanya. Ninaposema “kuingia kwenye uandishi wa vitabu” namaanisha uwe na kitabu chako ambacho mwandishi ni wewe!.
Soma zaidi →
Msomaji anaposoma kitabu cha mwandishi fulani huwa anakutana na mambo ambayo yatampa picha ya kumuona mwandishi yupo serious au la. Kwa bahati mbaya, wasomaji wengi wanapomwona mwandishi hayupo serious hubaki na dukuduku moyoni bila kumpa mwandishi mrejesho wa kitabu chake. Hii sio poa hata kidogo lakini ndio uhalisia wa mambo ulivyo
Soma zaidi →
Katika maswali haya, ni swali lipi linakuelezea wewe na umekuwa ukijiuliza bila majibu yake, na sasa ungetaka kuchukua hatua ya kufanyia kazi?; Je mimi nataka kujua jinsi ya kuandika kitabu? Je mimi nataka kujua jinsi ya kuuza kitabu changu zaidi? Je mimi nataka kutoa kitabu changu ila sijui nianzie wapi? Au Je mimi nataka kuwa bora zaidi kwenye uandishi wa vitabu?. Majibu yamepatikana, nakupa njia rahisi ya kutusua.
Soma zaidi →
Unaujua umuhimu wa kuandaa bajeti kwanza unapokuwa kwenye mchakato wa kutoa kitabu chako? Fikiria una rafiki yako ambaye amekuja kwako kuomba ushauri wa kuifanya bajeti yake ya kutoa kitabu itoshe, Je ungemshauri nini?.
Soma zaidi →
Zikiwa zimesalia siku chache mno – Siku 5 tu, kozi itaanza tarehe 30.07.2022 – kozi ya Siri 30 Za Kuwa Mwandishi Bora Wa Vitabu kuanza, nimeona nigusie jambo hili; Unaisomaje kozi hii?. Nifanya hivi nikitambua kuwa kuna watu wengi, ikiwemo wewe,
Soma zaidi →
Hivi majuzi nilihudhuria uzinduzi wa kitabu cha JENGA WASIFU WAKO kilichoandikwa na rafiki yangu Victor Lazaro (anayeonekana pichani). Uzinduzi huu ulifanyika pale New Safari Hoteli. Yako mengi nilijifunza na ninapenda kukushirikisha machache, kama mambo tisa (9) hivi.
Soma zaidi →