This website use cookies to ensure you get the best experience on our website
Una swali la kuniuliza? Kuna msaada binafsi unahitaji? au unataka uwe mentee wangu?
- Tunajifunza kwa siku 3 - 5
- Hakuna cheti
- Hakuna mazoezi
- Hakuna mtihani
- Unapata kipaumbele cha chini
- Hakuna u mentee
- Group la WhatsApp la Free DaudiPages
TSH. 5000+
- Unasoma kwa siku 5 hadi 10
- Unapata cheti
- Kuna mazoezi
- Kuna mtihani
- Unapata kipaumbele cha juu
- Unakuwa Mentee wangu
- Group la WhatsApp la Paid DaudiPages
TSH. 20000+
Unapata vyote vilivyo kwenye kozi plus vitu vifuatavyo
- Ushauri na usaidizi wa kipekee
- Appointment za kuonana
"Kama una ndoto za kuwa mwandishi bora wa vitabu basi Daudi Lubeleje, ni chaguo sahihi. Nakumbuka aliponitoa, niliona kama kipaji changu kinaweza kupotea. Nilitafuta sehemu za kujifunza hadi nilipompata. Amenifundisha mambo mengi"
Upendo Kitundu - Blogger @ UpendoKitundu
Nazungumza na mtu anayetaka kuwa mwandishi wa vitabu, kuna vitabu vitatu vya lazima kuvisoma ili upate maarifa ya kukusaidia unapoingia kwenye uandishi wa vitabu. Vitabu hivi vitakusaidia kupata maarifa muhimu kuanzia hatua ya kuandika, kuandaa, kupiga chapa na kuuza kiabu ulichoandika. Ni vitabu gani hivyo?
Kuingia kwenye uandishi wa vitabu sio kazi kubwa kama utaanzia kwenye kile unachokifanya. Ninaposema “kuingia kwenye uandishi wa vitabu” namaanisha uwe na kitabu chako ambacho mwandishi ni wewe!.
Nimepata shinikizo kubwa moyoni, na nimeguswa sana. Nitakuwa mchoyo wa fadhila kama sitamshukuru Mungu kwa kunitukanisha na huyo mtu. Kama mimi nimeweza, amini na wewe unaweza.
Jiunge kwenye group la WhatsApp la Free DaudiPages.