This website use cookies to ensure you get the best experience on our website
Una swali la kuniuliza? Kuna msaada binafsi unahitaji? au unataka uwe mentee wangu?
Baada ya kusoma kozi hii, utakuwa umejifunza mambo yafuatayo;
Kitabu chenye makosa kinamwondolea ladha nzuri na tamu msomaji. Kwa hiyo kukipitia na kukihariri kitabu chako ni jambo lisilokwepeka. Lakini, si waandishi wengi hufanya hivyo. Mara kitabu kinapoingia hatua ya sanifu ya kurasa ndiposa mwandishi anagundua kitabu kina makosa fulani fulani.
Soma zaidi →
Mwenye ndoto ya kuandika na kutoa kitabu ni wewe si mtu mwingine, mwenye ndoto ya kuuza nakala nyingi ni wewe na si mtu mwingine, na mwenye ndoto ya kuwa mwandishi aliyefanikiwa ni wewe na si mtu mwingine. Kwenye hatua yoyote uliyoko sasa; iwe kuandika, kutoa ama kuuza kitabu chako, kitabu hiki kitakuwa msaada kwako.
Soma zaidi →
Mwanzoni mwa mwaka huu nilikuwa naandika vi – tips vifupi fupi kwenye akaunti yangu ya mtandao wa Twitter @DaudiLubeleje (unaweza kunifollow kupitia handle yangu). Waandishi wengi wa vitabu walivutiwa na hizo tips na kutiwa nguvu zaidi, kama ujuavyo uandishi wa vitabu si kazi nyepesi.
Soma zaidi →
Unatamani kuandika kitabu lakini unakwama? Tumekuandalia hatua hizi nne rahisi za kukusaidia wewe kutimiza ndoto yako ya kuandika kitabu chako. Fuata hatua hizi nne,
Soma zaidi →
Hata kama haisemwi na waandishi wengi, lakini ukweli unabaki kuwa waandishi wanaugulia maumivu ya ndani kwa ndani wanapoona vitabu vyao haviuzi.
Mimi pia, kama mwandishi, naelewa ninachosema. Wakati natoa kitabu changu cha kwanza, nilikuwa na matarajio kuwa, ndani ya miezi michache tu, nakala 500 ambazo nilikuwa nimetoa zingeisha haraka sana, halafu nitoe nyingine zaidi. Lakini haikuwa hivyo. Hata hivyo sikukata tamaa.
Soma zaidi →