This website use cookies to ensure you get the best experience on our website
Una swali la kuniuliza? Kuna msaada binafsi unahitaji? au unataka uwe mentee wangu?
Naandikaje kitabu? Ni swali ambalo nimejibu katika kurasa zinazofuata. Mimi naamini, kuandika kitabu ni ujuzi ambao kila mtu anawez kujifunza
Soma zaidi →
Unaujua umuhimu wa kuandaa bajeti kwanza unapokuwa kwenye mchakato wa kutoa kitabu chako? Fikiria una rafiki yako ambaye amekuja kwako kuomba ushauri wa kuifanya bajeti yake ya kutoa kitabu itoshe, Je ungemshauri nini?.
Soma zaidi →
Inatia moyo sana kuona idadi ya watu wanaotaka kuwa waandishi wa vitabu inaongezeka. Hii ni dalili nzuri sana kwa sababu inatoa picha ya mambo mawili; mosi, kuna mwamko wa watu kusoma vitabu, pili, watu wanataka kuacha alama ya mambo wanayofanya kwa vizazi vinavyofuata.
Soma zaidi →
Mambo yamebadilika sana miaka ya hivi karibuni. Zamani kidogo, watu walikutana na changamoto ya kukosa maarifa muhimu kuhusu biashara na uchumi hasa walipotaka kuanza kufanya biashara au kutaka kujiongezea kipato zaidi. Lakini sasa, vitabu vya biashara na uchumi vimejaa tele kwa wewe kusoma na kufaidika na maarifa ya kukusaidia kufanya biashara bila ugumu wowote.
Soma zaidi →
Zikiwa zimesalia siku chache mno – Siku 5 tu, kozi itaanza tarehe 30.07.2022 – kozi ya Siri 30 Za Kuwa Mwandishi Bora Wa Vitabu kuanza, nimeona nigusie jambo hili; Unaisomaje kozi hii?. Nifanya hivi nikitambua kuwa kuna watu wengi, ikiwemo wewe,
Soma zaidi →
Hivi majuzi nilihudhuria uzinduzi wa kitabu cha JENGA WASIFU WAKO kilichoandikwa na rafiki yangu Victor Lazaro (anayeonekana pichani). Uzinduzi huu ulifanyika pale New Safari Hoteli. Yako mengi nilijifunza na ninapenda kukushirikisha machache, kama mambo tisa (9) hivi.
Soma zaidi →